Noor
Kiswahili
Noor / Dua / Adabu na Tabia Njema / Jibu kwa anayesema "Allah akusamehe"

Jibu kwa anayesema "Allah akusamehe"

Adabu na Tabia Njema · 1 dua

Jibu kwa anayesema "Allah akusamehe" 0:00
Sikiliza
1

وَلَكَ

Imepokewa kutoka kwa Abdillahi bin Sajis (r.a) amesema: Nilimjia Mtume (s.a.w) nikala katika chakula chake, kisha nikamwambia: ''Mwenyezi Mungu akusamehe Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu.'' Akaniambia: ''Nawe akusamehe.''

Chanzo: Ahmad 5/82, An-Nasa'i.