Noor
Kiswahili
Noor / Qurani / Al-Kawthar
108

Al-Kawthar — Kheri Nyingi

الكَوۡثَرِ
Za Makka Aya 3
Sikiliza sura 0:00
Sikiliza · Mishary Rashid Alafasy

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.

Aya 1

إِنَّآ أَعْطَيْنَٰكَ ٱلْكَوْثَرَ

Innaa a'taina kal kauthar

Hakika tumekupa kheri nyingi.

Aya 2

فَصَلِّ لِرَبِّكَ وَٱنْحَرْ

Fa salli li rabbika wanhar

Basi sali na uchinje kwa ajili ya Mola wako Mlezi.

Aya 3

إِنَّ شَانِئَكَ هُوَ ٱلْأَبْتَرُ

Inna shani-aka huwal abtar

Hakika anaye kuchukia ndiye aliye mpungufu.