Aya 1
إِنَّآ أَعْطَيْنَٰكَ ٱلْكَوْثَرَ
Innaa a'taina kal kauthar
Hakika tumekupa kheri nyingi.
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.
إِنَّآ أَعْطَيْنَٰكَ ٱلْكَوْثَرَ
Innaa a'taina kal kauthar
Hakika tumekupa kheri nyingi.
فَصَلِّ لِرَبِّكَ وَٱنْحَرْ
Fa salli li rabbika wanhar
Basi sali na uchinje kwa ajili ya Mola wako Mlezi.
إِنَّ شَانِئَكَ هُوَ ٱلْأَبْتَرُ
Inna shani-aka huwal abtar
Hakika anaye kuchukia ndiye aliye mpungufu.