1
أَفْطَرَ عِنْدَكُمُ الصَّائِمُونَ, وَأَكَلَ طَعَامَكُمُ الْأَبْرَارُ, وَصَلَّتْ عَلَيْكُمُ الْمَلاَئِكَةُ
Wamefuturu kwenu waliofunga, na wamekula chakula chenu watu wema, na Malaika wamewatakia rehema.
Chanzo: Abu Dawud 3/367, Ibn Majah 1/556, An-Nasa'i.