1
اللَّهُمَّ إِنَّا نَجْعَلُكَ فِي نُحُورِهِم, وَنَعُوذُ بِكَ مِنْ شُرُورِهِمْ
Ewe Mwenyezi Mungu hakika sisi tunakufanya Wewe uwe katika vifua vyao, na tunajikinga kwako na shari zao.
Chanzo: Abu Dawud 2/89, Al-Hakim.
Furaha na Huzuni · 3 dua
اللَّهُمَّ إِنَّا نَجْعَلُكَ فِي نُحُورِهِم, وَنَعُوذُ بِكَ مِنْ شُرُورِهِمْ
Ewe Mwenyezi Mungu hakika sisi tunakufanya Wewe uwe katika vifua vyao, na tunajikinga kwako na shari zao.
Chanzo: Abu Dawud 2/89, Al-Hakim.
اللَّهُمَّ أَنْتَ عَضُدِي, وَأَنْتَ نَصِيرِي, بِكَ أَحُولُ وَبِكَ أَصُولُ, وَبِكَ أُقاتِلُ
Ewe Mwenyezi Mungu Wewe ndie msaidizi wangu, nawe ndie mnusuru wangu (mwenye kuninusuru), kwako ninazunguka na kwako ninavamia, na kwako ninapigana.
Chanzo: Abu Dawud 3/42, At-Tirmizi\n 5/572.
حَسْبُنا اللَّهُ وَنِعْمَ الْوَكِيلُ
Mwenyezi Mungu ananitosheleza, nae ni mbora wa kutegemewa.
Chanzo: Al-Bukhari, 5/172.