Noor
Kiswahili
Noor / Dua / Adabu na Tabia Njema / Kwa uliyemtukana

Kwa uliyemtukana

Adabu na Tabia Njema · 1 dua

Kwa uliyemtukana 0:00
Sikiliza
1

قَالَ النَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم: اللَّهُمَّ فَأَيُّمَا مُؤْمِنٍ سَبَبْتُهُ فَاجْعَلْ ذَلِكَ لَهُ قُرْبَةً إِلَيْكَ يَوْمَ الْقِيَامَةِ

Imepokewa kutoka kwa Abuu Hurayra (r.a) amemsikia Mtume (s.a.w) akisema: ''Ewe Mwenyezi Mungu, kwa muislamu yeyote niliyemtukana, basi fanya kwa hilo litakalomkurubisha kwako, (ni thawabu kwake) siku ya Kiyama.''

Chanzo: Al-Bukhari, Muslim 4/2007.