1
اللَّهُمَّ لاَ تُؤَاخِذْنِي بِمَا يَقُولُونَ, وَاغْفِرْ لِي مَا لاَ يَعْلَمُونَ, [وَاجْعَلْنِي خَيْراً مِمَّا يَظُّنُّونَ]
Ewe Mwenyezi Mungu usinichukulie kwa yale wanayoyasema, na unisamehe kwa yale wasiyoyajua, (na unifanye bora kuliko wanavyo nifikiria).
Chanzo: Al-Bukhari, Al-Bayhaqi.