1
طَافَ النَّبيُّ صلى الله عليه وسلم بِالْبَيْتِ عَلَى بَعِيرٍ كُلَّمَا أَتَى الرُّكْنَ أَشَارَ إِلَيْهِ بِشَيْءٍ عِنْدَهُ وَكَبَّرَ
Mtume (s.a.w) alitufu (kuzunguka Al-Kaabah) (akiwa) juu ya ngamia, kila anapofika katika Hajaril-As'wad (jiwe jeusi) alikuwa anaashiria kwa fimbo yake, na kusema: ''Mwenyezi Mungu ni Mkubwa.''
Chanzo: Al-Bukhari.