1
رَبَّنَا آتِنَا فِي الدُّنْيَا حَسَنَةً وَفِي الْآخِرَةِ حَسَنَةً وَقِنَا عَذَابَ النَّارِ
Alikuwa Mtume (s.a.w) akisema baina yake: ''Ewe Mwenyezi Mungu tupe katika dunia hii mema, na katika akhera mema, na utukinge na adhabu ya moto.''
Chanzo: Abu Dawud 2/179, Ahmad 3/411, Al-Baghawi Surah Al-Baqarah:201.