1
تُبْلِي وَيُخْلِفُ اللَّهُ تَعَالَى
Itakwisha (kwa kuzeeka na kupasuka) Na Mwenyezi Mungu atakupa nyingine
Chanzo: Abu Dawud 4/41, Al-Albani Sahih Abu Dawud 2/760.
Nyumba na Familia · 2 dua
تُبْلِي وَيُخْلِفُ اللَّهُ تَعَالَى
Itakwisha (kwa kuzeeka na kupasuka) Na Mwenyezi Mungu atakupa nyingine
Chanzo: Abu Dawud 4/41, Al-Albani Sahih Abu Dawud 2/760.
اِلْبَسْ جَدِيداً وَعِشْ حَمِيداً وَمُتْ شَهِيداً
Vaa nguo mpya, na ishi hali ya kuwa ni mwenye kushukuru na kufa hali ya kuwa ni shahidi.
Chanzo: Ibn Majah 2/1178, Al-Baghawi 12/41, Al-Albani, Sahih Ibn Majah 2/275