Noor
Kiswahili
Noor / Dua / Maradhi na Kifo / Baada ya maziko

Baada ya maziko

Maradhi na Kifo · 1 dua

Baada ya maziko 0:00
Sikiliza
1

اللَّهُمَّ اغْفِرْ لَهُ, اللَّهُمَّ ثَبِّتْهُ

Ewe Mwenyezi Mungu mfanye awe thabiti. Mtume (s.a.w) alikuwa akimaliza kuzika anasimama mbele ya kaburi kisha ansema: Muombeeni msamaha kwa Mwenyezi Mungu ndugu yenu na muombeeni kuthibitishwa kwani hivi sasa anaulizwa.

Chanzo: Abu Dawud 3/315, Al-Hakim 1/370.