Noor
Kiswahili
Noor / Dua / Hijja na Umra / Dhikr katika Mash'aril Haram

Dhikr katika Mash'aril Haram

Hijja na Umra · 1 dua

Dhikr katika Mash'aril Haram 0:00
Sikiliza
1

رَكِبَ النَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم الْقَصْوَاءَ حَتَّى أَتَى الْمَشْعَرَ الْحَرَامَ فَاسْتَقْبَلَ الْقِبْلَةَ (فَدَعَاهُ, وَكَبَّرَهُ, وَهَللَّهُ, وَوَحَّدَهُ) فَلَمْ يَزَلْ وَاقِفاً حَتَّى أَسْفَرَ جِدَّاً فَدَفَعَ قَبْلَ أَنْ تَطْلُعَ الشَّمسُ

Amesema Jaabir (r.a) kwamba: ''Mtume (s.a.w) alimpanda Al-Qaswa (jina la ngamia wake) mpaka alipofika Mash'arul Haram (huko Muzdalifah), kisha akaelekea Qiblah, akamuomba Mwenyezi Mungu, akaleta Takbira (akamtukuza), akaleta Tahliil (akamsifu), na akampwekesha. Hakuacha kusimama mpaka kulipo pambazuka ndipo alipoondoka, kabla ya kutoka jua.''

Chanzo: Muslim 2/891.