1
الْاسْتِعَاذَةُ بِاللَّهِ مِنْهُ
Mambo yafuatayo yanatakiwa kufuatwa pindi anapotolewa shetani: ''Kumuomba Mwenyezi Mungu akuhifadhi nae''.
Chanzo: Abu Dawud 1/206, At-Tirmizi.
Nyumba na Familia · 3 dua
الْاسْتِعَاذَةُ بِاللَّهِ مِنْهُ
Mambo yafuatayo yanatakiwa kufuatwa pindi anapotolewa shetani: ''Kumuomba Mwenyezi Mungu akuhifadhi nae''.
Chanzo: Abu Dawud 1/206, At-Tirmizi.
الْأَذَانُ
Kumuadhinia.
Chanzo: Muslim 1/291, Al-Bukhari 1/151.
الْأَذْكَارُ وَقِرَاءَةُ الْقُرْآنِ
Kusoma nyiradi zilizopokewa kutoka kwa Mtume (s.a.w) na kusoma Qur,ani.
Chanzo: Muslim 1/539.