Noor
Kiswahili
Noor / Dua / Maradhi na Kifo / Kwa anayemtembelea mgonjwa

Kwa anayemtembelea mgonjwa

Maradhi na Kifo · 2 dua

Kwa anayemtembelea mgonjwa 0:00
Sikiliza
1

لاَ بأْسَ طَهُورٌ إِنْ شَاءَ اللَّهُ

Alikuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w) anapoingia kumzuru mgonjwa akimwambia: ''Hakuna neno (ugonjwa) ni kusafishwa (na madhambi), anapopenda Mwenyezi Mungu.

Chanzo: Al-Bukhari.

2

أَسْأَلُ اللَّهَ الْعَظيمَ رَبَّ الْعَرْشِ الْعَظِيمِ أَنْ يَشْفيَكَ (سبع مرات)

Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w): Hapana mja yeyote muislamu anaemtembelea mgonjwa ambae wakati wa kufa bado haujafika na akamuombea mara saba: ''Namuomba Mwenyezi Mungu Mtukufu, Mola wa Arshi tukufu (akuponyeshe).'' Isipokuwa Mwenyezi Mungu humponyesha mgonjwa huyo.

Chanzo: At-Tirmizi, Abu Dawud.