1
لاَ بأْسَ طَهُورٌ إِنْ شَاءَ اللَّهُ
Alikuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w) anapoingia kumzuru mgonjwa akimwambia: ''Hakuna neno (ugonjwa) ni kusafishwa (na madhambi), anapopenda Mwenyezi Mungu.
Chanzo: Al-Bukhari.
Maradhi na Kifo · 2 dua
لاَ بأْسَ طَهُورٌ إِنْ شَاءَ اللَّهُ
Alikuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w) anapoingia kumzuru mgonjwa akimwambia: ''Hakuna neno (ugonjwa) ni kusafishwa (na madhambi), anapopenda Mwenyezi Mungu.
Chanzo: Al-Bukhari.
أَسْأَلُ اللَّهَ الْعَظيمَ رَبَّ الْعَرْشِ الْعَظِيمِ أَنْ يَشْفيَكَ (سبع مرات)
Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w): Hapana mja yeyote muislamu anaemtembelea mgonjwa ambae wakati wa kufa bado haujafika na akamuombea mara saba: ''Namuomba Mwenyezi Mungu Mtukufu, Mola wa Arshi tukufu (akuponyeshe).'' Isipokuwa Mwenyezi Mungu humponyesha mgonjwa huyo.
Chanzo: At-Tirmizi, Abu Dawud.