Noor
Kiswahili
Noor / Qurani / Al-Asr
103

Al-Asr — Zama

العَصۡرِ
Za Makka Aya 3
Sikiliza sura 0:00
Sikiliza · Mishary Rashid Alafasy

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.

Aya 1

وَٱلْعَصْرِ

Wal' asr

Naapa kwa Zama!

Aya 2

إِنَّ ٱلْإِنسَٰنَ لَفِى خُسْرٍ

Innal insaana lafee khusr

Hakika binaadamu bila ya shaka yumo katika khasara,

Aya 3

إِلَّا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ وَعَمِلُوا۟ ٱلصَّٰلِحَٰتِ وَتَوَاصَوْا۟ بِٱلْحَقِّ وَتَوَاصَوْا۟ بِٱلصَّبْرِ

Il lal lazeena aamanu wa 'amilus saali haati wa tawa saw bil haqqi wa tawa saw bis sabr

Ila wale walio amini, na wakatenda mema, na wakausiana kwa haki, na wakausiana kusubiri.