Aya 1
وَٱلْعَصْرِ
Wal' asr
Naapa kwa Zama!
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.
وَٱلْعَصْرِ
Wal' asr
Naapa kwa Zama!
إِنَّ ٱلْإِنسَٰنَ لَفِى خُسْرٍ
Innal insaana lafee khusr
Hakika binaadamu bila ya shaka yumo katika khasara,
إِلَّا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ وَعَمِلُوا۟ ٱلصَّٰلِحَٰتِ وَتَوَاصَوْا۟ بِٱلْحَقِّ وَتَوَاصَوْا۟ بِٱلصَّبْرِ
Il lal lazeena aamanu wa 'amilus saali haati wa tawa saw bil haqqi wa tawa saw bis sabr
Ila wale walio amini, na wakatenda mema, na wakausiana kwa haki, na wakausiana kusubiri.