Noor
Kiswahili
Noor / Qurani / At-Takathur
102

At-Takathur — Kuzidishiana

التَّكَاثُرِ
Za Makka Aya 8
Sikiliza sura 0:00
Sikiliza · Mishary Rashid Alafasy

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.

Aya 1

أَلْهَىٰكُمُ ٱلتَّكَاثُرُ

Al haaku mut takathur

Kumekushughulisheni kutafuta wingi,

Aya 2

حَتَّىٰ زُرْتُمُ ٱلْمَقَابِرَ

Hatta zurtumul-maqaabir

Mpaka mje makaburini!

Aya 3

كَلَّا سَوْفَ تَعْلَمُونَ

Kalla sawfa ta'lamoon

Sivyo hivyo! Mtakuja jua!

Aya 4

ثُمَّ كَلَّا سَوْفَ تَعْلَمُونَ

Thumma kalla sawfa ta'lamoon

Tena sivyo hivyo! Mtakuja jua!

Aya 5

كَلَّا لَوْ تَعْلَمُونَ عِلْمَ ٱلْيَقِينِ

Kalla law ta'lamoona 'ilmal yaqeen

Sivyo hivyo! Lau mngeli jua kwa ujuzi wa yakini,

Aya 6

لَتَرَوُنَّ ٱلْجَحِيمَ

Latara-wun nal jaheem

Basi bila ya shaka mtaiona Jahannamu!

Aya 7

ثُمَّ لَتَرَوُنَّهَا عَيْنَ ٱلْيَقِينِ

Thumma latara wunnaha 'ainal yaqeen

Tena, bila ya shaka, mtaiona kwa jicho la yakini.

Aya 8

ثُمَّ لَتُسْـَٔلُنَّ يَوْمَئِذٍ عَنِ ٱلنَّعِيمِ

Thumma latus alunna yauma-izin 'anin na'eem

Tena bila ya shaka mtaulizwa siku hiyo juu ya neema.