Noor
Kiswahili
Noor / Qurani / Al-Qari'a
101

Al-Qari'a — Mgongano

القَارِعَةِ
Za Makka Aya 11
Sikiliza sura 0:00
Sikiliza · Mishary Rashid Alafasy

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.

Aya 1

ٱلْقَارِعَةُ

Al qaari'ah

Inayo gonga!

Aya 2

مَا ٱلْقَارِعَةُ

Mal qaariah

Nini Inayo gonga?

Aya 3

وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا ٱلْقَارِعَةُ

Wa maa adraaka mal qaari'ah

Na nini kitacho kujuilisha nini Inayo gonga?

Aya 4

يَوْمَ يَكُونُ ٱلنَّاسُ كَٱلْفَرَاشِ ٱلْمَبْثُوثِ

Yauma ya koonun naasu kal farashil mabthooth

Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;

Aya 5

وَتَكُونُ ٱلْجِبَالُ كَٱلْعِهْنِ ٱلْمَنفُوشِ

Wa ta koonul jibalu kal 'ihnil manfoosh

Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!

Aya 6

فَأَمَّا مَن ثَقُلَتْ مَوَٰزِينُهُۥ

Fa-amma man thaqulat mawa zeenuh

Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,

Aya 7

فَهُوَ فِى عِيشَةٍۢ رَّاضِيَةٍۢ

Fahuwa fee 'ishatir raadiyah

Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza.

Aya 8

وَأَمَّا مَنْ خَفَّتْ مَوَٰزِينُهُۥ

Wa amma man khaffat mawa zeenuh

Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,

Aya 9

فَأُمُّهُۥ هَاوِيَةٌۭ

Fa-ummuhu haawiyah

Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!

Aya 10

وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا هِيَهْ

Wa maa adraaka maa hiyah

Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo?

Aya 11

نَارٌ حَامِيَةٌۢ

Naarun hamiyah

Ni Moto mkali!