ٱلْقَارِعَةُ
Al qaari'ah
Inayo gonga!
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.
ٱلْقَارِعَةُ
Al qaari'ah
Inayo gonga!
مَا ٱلْقَارِعَةُ
Mal qaariah
Nini Inayo gonga?
وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا ٱلْقَارِعَةُ
Wa maa adraaka mal qaari'ah
Na nini kitacho kujuilisha nini Inayo gonga?
يَوْمَ يَكُونُ ٱلنَّاسُ كَٱلْفَرَاشِ ٱلْمَبْثُوثِ
Yauma ya koonun naasu kal farashil mabthooth
Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;
وَتَكُونُ ٱلْجِبَالُ كَٱلْعِهْنِ ٱلْمَنفُوشِ
Wa ta koonul jibalu kal 'ihnil manfoosh
Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!
فَأَمَّا مَن ثَقُلَتْ مَوَٰزِينُهُۥ
Fa-amma man thaqulat mawa zeenuh
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
فَهُوَ فِى عِيشَةٍۢ رَّاضِيَةٍۢ
Fahuwa fee 'ishatir raadiyah
Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza.
وَأَمَّا مَنْ خَفَّتْ مَوَٰزِينُهُۥ
Wa amma man khaffat mawa zeenuh
Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,
فَأُمُّهُۥ هَاوِيَةٌۭ
Fa-ummuhu haawiyah
Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!
وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا هِيَهْ
Wa maa adraaka maa hiyah
Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo?
نَارٌ حَامِيَةٌۢ
Naarun hamiyah
Ni Moto mkali!