Noor
Kiswahili
Noor / Qurani / Al-Adiyat
100

Al-Adiyat — Wanaokimbia

العَادِيَاتِ
Za Makka Aya 11
Sikiliza sura 0:00
Sikiliza · Mishary Rashid Alafasy

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.

Aya 1

وَٱلْعَٰدِيَٰتِ ضَبْحًۭا

Wal'aadi yaati dabha

Naapa kwa farasi wendao mbio wakipumua,

Aya 2

فَٱلْمُورِيَٰتِ قَدْحًۭا

Fal moori yaati qadha

Na wakitoa moto kwa kupiga kwato zao chini,

Aya 3

فَٱلْمُغِيرَٰتِ صُبْحًۭا

Fal mugheeraati subha

Wakishambulia wakati wa asubuhi,

Aya 4

فَأَثَرْنَ بِهِۦ نَقْعًۭا

Fa atharna bihee naq'a

Huku wakitimua vumbi,

Aya 5

فَوَسَطْنَ بِهِۦ جَمْعًا

Fawa satna bihee jam'a

Na wakijitoma kati ya kundi,

Aya 6

إِنَّ ٱلْإِنسَٰنَ لِرَبِّهِۦ لَكَنُودٌۭ

Innal-insana lirabbihee lakanood

Hakika mwanaadamu ni mtovu wa fadhila kwa Mola wake Mlezi!

Aya 7

وَإِنَّهُۥ عَلَىٰ ذَٰلِكَ لَشَهِيدٌۭ

Wa innahu 'alaa zaalika la shaheed

Na hakika yeye mwenyewe bila ya shaka ni shahidi wa hayo!

Aya 8

وَإِنَّهُۥ لِحُبِّ ٱلْخَيْرِ لَشَدِيدٌ

Wa innahu lihubbil khairi la shadeed

Naye hakika bila ya shaka ana nguvu za kupenda mali!

Aya 9

۞ أَفَلَا يَعْلَمُ إِذَا بُعْثِرَ مَا فِى ٱلْقُبُورِ

Afala ya'lamu iza b'uthira ma filquboor

Kwani hajui watakapo fufuliwa waliomo makaburini?

Aya 10

وَحُصِّلَ مَا فِى ٱلصُّدُورِ

Wa hussila maa fis sudoor

Na yakakusanywa yaliomo vifuani?

Aya 11

إِنَّ رَبَّهُم بِهِمْ يَوْمَئِذٍۢ لَّخَبِيرٌۢ

Inna rabbahum bihim yauma 'izil la khabeer

Kuwa hakika Mola wao Mlezi siku hiyo bila ya shaka atakuwa na khabari zao wote!