Noor
Kiswahili
Noor / Qurani / Az-Zalzala
99

Az-Zalzala — Tetemeko

الزَّلۡزَلَةِ
Za Madina Aya 8
Sikiliza sura 0:00
Sikiliza · Mishary Rashid Alafasy

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.

Aya 1

إِذَا زُلْزِلَتِ ٱلْأَرْضُ زِلْزَالَهَا

Izaa zul zilatil ardu zil zaalaha

Itakapo tetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake!

Aya 2

وَأَخْرَجَتِ ٱلْأَرْضُ أَثْقَالَهَا

Wa akh rajatil ardu athqaalaha

Na itakapo toa ardhi mizigo yake!

Aya 3

وَقَالَ ٱلْإِنسَٰنُ مَا لَهَا

Wa qaalal insaanu ma laha

Na mtu akasema: Ina nini?

Aya 4

يَوْمَئِذٍۢ تُحَدِّثُ أَخْبَارَهَا

Yawmaa izin tuhad dithu akhbaaraha

Siku hiyo itahadithia khabari zake.

Aya 5

بِأَنَّ رَبَّكَ أَوْحَىٰ لَهَا

Bi-anna rabbaka awhaa laha

Kwa sababu Mola wake Mlezi ameifunulia!

Aya 6

يَوْمَئِذٍۢ يَصْدُرُ ٱلنَّاسُ أَشْتَاتًۭا لِّيُرَوْا۟ أَعْمَٰلَهُمْ

Yawma iziy yas durun naasu ash tatal liyuraw a'maalahum

Siku hiyo watu watatoka kwa mfarakano wakaonyweshwe vitendo vyao!

Aya 7

فَمَن يَعْمَلْ مِثْقَالَ ذَرَّةٍ خَيْرًۭا يَرَهُۥ

Famaiy ya'mal mithqala zarratin khai raiy-yarah

Basi anaye tenda chembe ya wema, atauona!

Aya 8

وَمَن يَعْمَلْ مِثْقَالَ ذَرَّةٍۢ شَرًّۭا يَرَهُۥ

Wa maiy-y'amal mithqala zarratin sharraiy-yarah

Na anaye tenda chembe ya uovu atauona!