وَيْلٌۭ لِّكُلِّ هُمَزَةٍۢ لُّمَزَةٍ
Wai lul-li kulli hu mazatil-lumaza
Ole wake kila safihi, msengenyaji!
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.
وَيْلٌۭ لِّكُلِّ هُمَزَةٍۢ لُّمَزَةٍ
Wai lul-li kulli hu mazatil-lumaza
Ole wake kila safihi, msengenyaji!
ٱلَّذِى جَمَعَ مَالًۭا وَعَدَّدَهُۥ
Al-lazi jama'a maalaw wa'addadah
Aliye kusanya mali na kuyahisabu.
يَحْسَبُ أَنَّ مَالَهُۥٓ أَخْلَدَهُۥ
Yahsabu anna maalahu akhladah
Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
كَلَّا ۖ لَيُنۢبَذَنَّ فِى ٱلْحُطَمَةِ
Kalla layum ba zanna fil hutamah
Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.
وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا ٱلْحُطَمَةُ
Wa maa adraaka mal-hutamah
Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama?
نَارُ ٱللَّهِ ٱلْمُوقَدَةُ
Narul laahil-mooqada
Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa.
ٱلَّتِى تَطَّلِعُ عَلَى ٱلْأَفْـِٔدَةِ
Al latee tat tali'u 'alalafidah
Ambao unapanda nyoyoni.
إِنَّهَا عَلَيْهِم مُّؤْصَدَةٌۭ
Innaha 'alaihim moosada
Hakika huo utafungiwa nao
فِى عَمَدٍۢ مُّمَدَّدَةٍۭ
Fee 'amadim-mu mad dadah
Kwenye nguzo zilio nyooshwa.