Noor
Kiswahili
Noor / Qurani / An-Nasr
110

An-Nasr — Nusura

النَّصۡرِ
Za Madina Aya 3
Sikiliza sura 0:00
Sikiliza · Mishary Rashid Alafasy

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.

Aya 1

إِذَا جَآءَ نَصْرُ ٱللَّهِ وَٱلْفَتْحُ

Iza jaa-a nas rullahi walfath

Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,

Aya 2

وَرَأَيْتَ ٱلنَّاسَ يَدْخُلُونَ فِى دِينِ ٱللَّهِ أَفْوَاجًۭا

Wa ra-aitan naasa yadkhuloona fee deenil laahi afwajah

Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi,

Aya 3

فَسَبِّحْ بِحَمْدِ رَبِّكَ وَٱسْتَغْفِرْهُ ۚ إِنَّهُۥ كَانَ تَوَّابًۢا

Fa sab bih bihamdi rabbika was taghfir, innahu kaana tawwaaba

Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.