Aya 1
تَبَّتْ يَدَآ أَبِى لَهَبٍۢ وَتَبَّ
Tab bat yadaa abee Lahabinw-wa tabb
Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.
تَبَّتْ يَدَآ أَبِى لَهَبٍۢ وَتَبَّ
Tab bat yadaa abee Lahabinw-wa tabb
Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.
مَآ أَغْنَىٰ عَنْهُ مَالُهُۥ وَمَا كَسَبَ
Maa aghna 'anhu maaluhu wa ma kasab
Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma.
سَيَصْلَىٰ نَارًۭا ذَاتَ لَهَبٍۢ
Sa yas laa naran zaata lahab
Atauingia Moto wenye mwako.
وَٱمْرَأَتُهُۥ حَمَّالَةَ ٱلْحَطَبِ
Wam ra-atuh hamma latal-hatab
Na mkewe, mchukuzi wa kuni,
فِى جِيدِهَا حَبْلٌۭ مِّن مَّسَدٍۭ
Fee jeediha hab lum mim-masad
Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa.