أَلَمْ نَشْرَحْ لَكَ صَدْرَكَ
Alam nashrah laka sadrak
Hatukukunjulia kifua chako?
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.
أَلَمْ نَشْرَحْ لَكَ صَدْرَكَ
Alam nashrah laka sadrak
Hatukukunjulia kifua chako?
وَوَضَعْنَا عَنكَ وِزْرَكَ
Wa wa d'ana 'anka wizrak
Na tukakuondolea mzigo wako,
ٱلَّذِىٓ أَنقَضَ ظَهْرَكَ
Allazee anqada zahrak
Ulio vunja mgongo wako?
وَرَفَعْنَا لَكَ ذِكْرَكَ
Wa raf 'ana laka zikrak
Na tukakunyanyulia utajo wako?
فَإِنَّ مَعَ ٱلْعُسْرِ يُسْرًا
Fa inna ma'al usri yusra
Basi kwa hakika pamoja na uzito upo wepesi,
إِنَّ مَعَ ٱلْعُسْرِ يُسْرًۭا
Inna ma'al 'usri yusra
Hakika pamoja na uzito upo wepesi.
فَإِذَا فَرَغْتَ فَٱنصَبْ
Fa iza faragh ta fansab
Na ukipata faragha, fanya juhudi.
وَإِلَىٰ رَبِّكَ فَٱرْغَب
Wa ilaa rabbika far ghab
Na Mola wako Mlezi ndio mshughulikie.