Noor
Kiswahili
Noor / Qurani / Ash-Sharh
94

Ash-Sharh — Kufunua

الشَّرۡحِ
Za Makka Aya 8
Sikiliza sura 0:00
Sikiliza · Mishary Rashid Alafasy

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.

Aya 1

أَلَمْ نَشْرَحْ لَكَ صَدْرَكَ

Alam nashrah laka sadrak

Hatukukunjulia kifua chako?

Aya 2

وَوَضَعْنَا عَنكَ وِزْرَكَ

Wa wa d'ana 'anka wizrak

Na tukakuondolea mzigo wako,

Aya 3

ٱلَّذِىٓ أَنقَضَ ظَهْرَكَ

Allazee anqada zahrak

Ulio vunja mgongo wako?

Aya 4

وَرَفَعْنَا لَكَ ذِكْرَكَ

Wa raf 'ana laka zikrak

Na tukakunyanyulia utajo wako?

Aya 5

فَإِنَّ مَعَ ٱلْعُسْرِ يُسْرًا

Fa inna ma'al usri yusra

Basi kwa hakika pamoja na uzito upo wepesi,

Aya 6

إِنَّ مَعَ ٱلْعُسْرِ يُسْرًۭا

Inna ma'al 'usri yusra

Hakika pamoja na uzito upo wepesi.

Aya 7

فَإِذَا فَرَغْتَ فَٱنصَبْ

Fa iza faragh ta fansab

Na ukipata faragha, fanya juhudi.

Aya 8

وَإِلَىٰ رَبِّكَ فَٱرْغَب

Wa ilaa rabbika far ghab

Na Mola wako Mlezi ndio mshughulikie.