Noor
Kiswahili
Noor / Qurani / At-Tin
95

At-Tin — Tini

التِّينِ
Za Makka Aya 8
Sikiliza sura 0:00
Sikiliza · Mishary Rashid Alafasy

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.

Aya 1

وَٱلتِّينِ وَٱلزَّيْتُونِ

Wat teeni waz zaitoon

Naapa kwa tini na zaituni!

Aya 2

وَطُورِ سِينِينَ

Wa toori sineen

Na kwa Mlima wa Sinai!

Aya 3

وَهَٰذَا ٱلْبَلَدِ ٱلْأَمِينِ

Wa haazal balad-il ameen

Na kwa mji huu wenye amani!

Aya 4

لَقَدْ خَلَقْنَا ٱلْإِنسَٰنَ فِىٓ أَحْسَنِ تَقْوِيمٍۢ

Laqad khalaqnal insaana fee ahsani taqweem

Bila ya shaka tumemuumba mtu kwa umbo lilio bora kabisa.

Aya 5

ثُمَّ رَدَدْنَٰهُ أَسْفَلَ سَٰفِلِينَ

Thumma ra dad naahu asfala saafileen

Kisha tukamrudisha kuwa chini kuliko walio chini!

Aya 6

إِلَّا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ وَعَمِلُوا۟ ٱلصَّٰلِحَٰتِ فَلَهُمْ أَجْرٌ غَيْرُ مَمْنُونٍۢ

Ill-lal lazeena aamanoo wa 'amilus saalihaati; falahum ajrun ghairu mamnoon

Lakini wale walio amini na wakatenda mema, hao watapata ujira usio kwisha.

Aya 7

فَمَا يُكَذِّبُكَ بَعْدُ بِٱلدِّينِ

Fama yu kaz zibuka b'adu bid deen

Basi ni kipi baadaye kitacho kukukadhibishia malipo?

Aya 8

أَلَيْسَ ٱللَّهُ بِأَحْكَمِ ٱلْحَٰكِمِينَ

Alai sal laahu bi-ahkamil haakimeen

Kwani Mwenyezi Mungu si muadilifu kuliko mahakimu wote?