1
إِذَا رَأَى أَحَدُكُم مِنْ أَخِيهِ, أَوْ مِنْ نَفْسِهِ, أَوْ مِنْ مَالِهِ مَا يُعْجِبُهُ [فَلْيَدْعُ لَهُ بِالْبَرَكَةِ] فَإِنَّ الْعَيْنَ حَقٌّ
Akiona mmoja wenu kwa ndugu yake, au kwake, au mali yake, kinachomfurahisha, akiombee baraka, kwani kijicho ni kweli. (Kwa kusema: ''Ewe Mwenyezi Mungu mbariki kwa hicho.'' ....Au aseme: ''Haya ndiyo Mwenyezi Mungu aliyoyataka, hakuna nguvu ila za Mwenyezi Mungu.''
Chanzo: Ahmad 4/447, Ibn Majah, Malik.