Noor
Kiswahili
Noor / Dua / Nyumba na Familia / Dua ya kutoka nyumbani

Dua ya kutoka nyumbani

Nyumba na Familia · 2 dua

Dua ya kutoka nyumbani 0:00
Sikiliza
1

بِسْمِ اللَّهِ, تَوَكَّلْتُ عَلَى اللَّهِ, وَلَاَ حَوْلَ وَلَا قُوَّةَ إِلاَّ بِاللَّهِ

Kwa jina la Mwenyezi Mungu (ninatoka), ninamtegemea Mwenyezi Mungu, na hapana uwezo wala nguvu ila vyote vinatokana na Mwenyezi Mungu.

Chanzo: Abu Dawud 4/325, At-Tirmizi 5/490, Al-Albani, Sahih At-Tirmizi 3/151

2

اللَّهُمَّ إِنِّي أَعُوذُ بِكَ أَنْ أَضِلَّ, أَوْ أُضَلَّ, أَوْ أَزِلَّ, أَوْ أُزَلَّ, أَوْ أَظْلِمَ, أَوْ أُظْلَمَ, أَوْ أَجْهَلَ, أَوْ يُجْهَلَ عَلَيَّ

Ewe Mwenyezi Mungu najilinda kwako kutokana na kupotea au kupoteza, au kuteleza au kumtelezesha mtu, au kudhulumu au kudhulumiwa, au kuwa mjinga au kufanywa mjinga.

Chanzo: Abu Dawud, Ibn Majah, An-Nasa'i, At-Tirmizi, Al-Albani, Sahih At-Tirmizi 3/152, Sahih Ibn Majah 2/336