Noor
Kiswahili
Noor / Dua / Swala / Dua ya sijda ya kisomo (tilawa)

Dua ya sijda ya kisomo (tilawa)

Swala · 2 dua

Dua ya sijda ya kisomo (tilawa) 0:00
Sikiliza
1

سَجَدَ وَجْهِيَ لِلَّذِي خَلَقَهُ, وَشَقَّ سَمْعَهُ وَبَصَرَهُ بِحَوْلِهِ وَقُوَّتِهِ, ﴿فَتَبارَكَ اللَّهُ أَحْسَنُ الْخَالِقِينَ﴾

Umesujudu uso wangu kumsujudia yule aliyeuumba na akaupasua usikizi wake na uoni wake kwa uwezo wake na nguvu zake, ametakasika Mwenyezi Mungu mbora wa waumbaji.

Chanzo: At-Tirmizi 2/474, Ahmad 6/30, Al-Hakim

2

اللَّهُمَّ اكْتُبْ لِي بِهَا عِنْدَكَ أَجْراً, وَضَعْ عَنِّي بِهَا وِزْراً, وَاجْعَلْهَا لِي عِنْدَكَ ذُخْراً, وَتَقَبَّلْهَا مِنِّي كَمَا تَقَبَّلْتَهَا مِنْ عَبْدِكَ دَاوُدَ

Ewe Mwenyezi Mungu niandikie kwako kwa sijda hii malipo, na nifutie kwayo madhambi, na ijaalie kwangu mbele yako ni akiba, na nikubalie kama ulivyomkubalia mja wako Daud.

Chanzo: At-Tirmizi 2/473, Al-Hakim.