Aya 1
لِإِيلَٰفِ قُرَيْشٍ
Li-ilaafi quraish
Kwa walivyo zoea Maqureshi,
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.
لِإِيلَٰفِ قُرَيْشٍ
Li-ilaafi quraish
Kwa walivyo zoea Maqureshi,
إِۦلَٰفِهِمْ رِحْلَةَ ٱلشِّتَآءِ وَٱلصَّيْفِ
Elaafihim rihlatash shitaa-i wass saif
Kuzoea kwao safari za siku za baridi na siku za joto.
فَلْيَعْبُدُوا۟ رَبَّ هَٰذَا ٱلْبَيْتِ
Fal y'abudu rabba haazal-bait
Basi nawamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii,
ٱلَّذِىٓ أَطْعَمَهُم مِّن جُوعٍۢ وَءَامَنَهُم مِّنْ خَوْفٍۭ
Allazi at'amahum min ju'inw-wa-aamana hum min khawf
Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.