1
إِذَا تَزَوَّجَ أَحَدُكُمُ امْرَأَةً, أَوْ إِذَا اشْتَرَى خَادِماً فَلْيَقُلْ: اللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ خَيْرَهَا, وَخَيْرَ مَا جَبَلْتَهَا عَلَيْهِ, وَأَعُوذُ بِكَ مِنْ شَرِّهَا, وَشَرِّ مَا جَبَلْتَهَا عَلَيْهِ, وَإِذَا اشْتَرَى بَعِيراً فَلْيَأْخُذْ بِذِرْوَةِ سَنَامِهِ وَلْيَقُلْ مِثْلَ ذَلِكَ
Ewe Mwenyezi Mungu, hakika mimi nakuomba kheri ya (mke) huyu, na kheri ya maumbile uliyo muumba nayo, na najilinda kwako na shari yake, na shari ya maumbile uliyo muumba nayo, Na akinunua mnyama atamshika kichwa chake kisha atasoma dua hiyo.
Chanzo: Abu Dawud 2/248, Ibn Majah 1/617.