اللَّهُمَّ أَعِذْهُ مِنْ عَذَابِ القَبْرِ, وإن قال: اللَّهُمَّ اجْعَلْهُ فَرَطاً وَذُخْراً لِوَالِدَيْهِ, وَشَفِيعاً مُجَاباً, اللَّهُمَّ ثَقِّلْ بِهِ مَوَازِينَهُمَا, وَأَعْظِمْ بِهِ أُجورَهُمَا, وَأَلْحِقْهُ بِصَالِحِ الْمُؤْمِنِينَ, وَاجْعَلْهُ فِي كَفَالَةِ إِبْرَاهِيمَ, وَقِهِ بِرَحْمَتِكَ عَذَابَ الْجَحِيمِ, وَأَبْدِلْهُ دَاراً خَيْراً مِنْ دَارِهِ, وَأَهْلاً خَيْراً مِنْ أَهْلِهِ, اللَّهُمَّ اغْفِرْ لِأَسْلاَفِنَا, وَأَفْرَاطِنَا, وَمَنْ سَبَقَنَا بِالْإِيمَانِ (فَحَسَنٌ)
Ee Allah! Mlinde kutokana na adhabu ya kaburini. (Na ni vyema pia kusema:) Ee Allah! Mfanye kwa wazazi wake kuwa mtangulizi, akiba na mwombezi anayekubaliwa. Ee Allah! Zito mizani zao kwake na kuza malipo yao kwake, muunganishe na waumini wema, mweke chini ya ulezi wa Ibrahim, na kwa rehema yako mlinde kutokana na adhabu ya Jahim, na umbadilishie nyumba bora kuliko nyumba yake na familia bora kuliko familia yake. Ee Allah! Wasamehe waliotutangulia, watoto wetu (waliofariki), na waliotutangulia katika imani.
Chanzo: Ibn Qudamah, Al-Mughni 3/416.