Noor
Kiswahili
Noor / Qurani / Al-Falaq
113

Al-Falaq — Mapambazuko

الفَلَقِ
Za Makka Aya 5
Sikiliza sura 0:00
Sikiliza · Mishary Rashid Alafasy

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.

Aya 1

قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلْفَلَقِ

Qul a'uzoo bi rabbil-falaq

Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko,

Aya 2

مِن شَرِّ مَا خَلَقَ

Min sharri ma khalaq

Na shari ya alivyo viumba,

Aya 3

وَمِن شَرِّ غَاسِقٍ إِذَا وَقَبَ

Wa min sharri ghasiqin iza waqab

Na shari ya giza la usiku liingiapo,

Aya 4

وَمِن شَرِّ ٱلنَّفَّٰثَٰتِ فِى ٱلْعُقَدِ

Wa min sharrin-naffaa-thaati fil 'uqad

Na shari ya wanao pulizia mafundoni,

Aya 5

وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ

Wa min shar ri haasidin iza hasad

Na shari ya hasidi anapo husudu.