Noor
Kiswahili
Noor / Qurani / An-Nas
114

An-Nas — Watu

النَّاسِ
Za Makka Aya 6
Sikiliza sura 0:00
Sikiliza · Mishary Rashid Alafasy

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.

Aya 1

قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلنَّاسِ

Qul a'uzu birabbin naas

Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu,

Aya 2

مَلِكِ ٱلنَّاسِ

Malikin naas

Mfalme wa wanaadamu,

Aya 3

إِلَٰهِ ٱلنَّاسِ

Ilaahin naas

Mungu wa wanaadamu,

Aya 4

مِن شَرِّ ٱلْوَسْوَاسِ ٱلْخَنَّاسِ

Min sharril was waasil khannaas

Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas,

Aya 5

ٱلَّذِى يُوَسْوِسُ فِى صُدُورِ ٱلنَّاسِ

Al lazee yuwas wisu fee sudoorin naas

Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu,

Aya 6

مِنَ ٱلْجِنَّةِ وَٱلنَّاسِ

Minal jinnati wan naas

Kutokana na majini na wanaadamu.