Aya 1
قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلنَّاسِ
Qul a'uzu birabbin naas
Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu,
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.
قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلنَّاسِ
Qul a'uzu birabbin naas
Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu,
مَلِكِ ٱلنَّاسِ
Malikin naas
Mfalme wa wanaadamu,
إِلَٰهِ ٱلنَّاسِ
Ilaahin naas
Mungu wa wanaadamu,
مِن شَرِّ ٱلْوَسْوَاسِ ٱلْخَنَّاسِ
Min sharril was waasil khannaas
Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas,
ٱلَّذِى يُوَسْوِسُ فِى صُدُورِ ٱلنَّاسِ
Al lazee yuwas wisu fee sudoorin naas
Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu,
مِنَ ٱلْجِنَّةِ وَٱلنَّاسِ
Minal jinnati wan naas
Kutokana na majini na wanaadamu.