1
كَانَ النَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم إِذَا أَتَاهُ الْأَمْرُ يَسُرُّهُ قَالَ: (الْحَمْدُ لِلَّهِ الَّذِي بِنِعْمَتِهِ تَتِمُّ الصَّالِحَاتُ) وَإِذَا أَتَاهُ الْأَمْرُ يَكْرَهُهُ قَالَ: (الْحَمْدُ لِلَّهِ عَلَى كُلِّ حَالٍ)
Alikuwa Mtume (s.a.w) ikimjia habari ya kufurahisha akisema: ''Sifa njema ni za Mwenyezi Mungu ambae kwa neema yake yanatimia mambo mema.'' Na ikimjia habari ya kusikitisha husema: ''Sifa njema ni za Mwenyezi Mungu kwa hali zote.''
Chanzo: Ibn As-Sunni, Sahih al-Jami' as-Saghir 4/201.