Noor
Kiswahili
Noor / Dua / Chakula na Vinywaji / Kabla ya kula

Kabla ya kula

Chakula na Vinywaji · 2 dua

Kabla ya kula 0:00
Sikiliza
1

إِذَا أَكَلَ أَحَدُكُمْ طَعَاماً فَلْيَقُلْ بِسْمِ اللَّهِ, فَإِنْ نَسِيَ فِي أَوَّلِهِ فَلْيَقُلْ بسمِ اللَّهِ فِي أَوَّلِهِ وَآخِرِهِ

Atakapokula mmoja wenu chkula basi aseme: ''Bismi LLaah'' ''Kwa jina la Mwenyezi Mungu.'' Na akisahau mwanzo wake, basi aseme: ''Bismi LLaahi fii awwalihi wa a'khirihi'' ''Kwa jina la Mwenyezi Mungu mwanzo wake na mwisho wake.''

Chanzo: Abu Dawud 3/347, At-Tirmizi 4/288.

2

مَنْ أَطْعَمَهُ اللَّهُ الطَّعَامَ فَلْيَقُلْ: اللَّهُمَّ بَارِكْ لَنَا فِيهِ وَأَطْعِمْنَا خَيْراً مِنْهُ, وَمَنْ سَقَاهُ اللَّهُ لَبَناً فَلْيَقُلْ اللَّهُمَّ بَارِكْ لَنَا فِيهِ وَزِدْنَا مِنْهُ

Yeyote ambaye Mwenyezi Mungu amemruzuku chakula aseme: ''Ewe Mwenyezi Mungu tubariki katika chakula hiki na tulishe bora kuliko hiki.'' Na yeyote ambae ameruzukiwa maziwa basi aseme: ''Ewe Mwenyezi Mungu tubarikie kinywaji hiki na utuzidishie.''

Chanzo: At-Tirmizi 5/506.